• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Kamati ya Kudumu Bunge inayoshughulikia UKIMWI yafanya ziara Njombe

Tarehe iliyowekwa: March 2nd, 2021

Wajumbe wa Kamati ya kudumu Bunge inayojihusisha na UKIMWI imefanya ziara katika Mkoa wa Njombe ambapo imepokea taarifa ya hali ya maambukizi Mkoa,Kukagua shughuli za kiuchumi zinazofanywa na walengwa,kutembelea kituo cha kutolea dawa na ushauri CTC kilichopo katika Hospitali ya Mkoa Wikichi na kutembelea Magereza ambapo kamati hiyo kupitia kwa Mwenyekiti wake Fatma Tawfiq imeshauri elimu zaidi kwa jamii kuepuka maambukizi mapya ikiwa sambamba na  matumizi ya mipira ya kike na kiume.

Akisoma taarifa ya  hali ya maambukizi hayo, kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa huo, Dkt. Robert Masele ambaye ni mratibu wa Ukimwi Mkoa huo, amesema hali ya maambukizi katika Mkoa imepungua kutoka asilimia 14.8 mwaka 2012 hadi kufikia asilimia 11.4 mwaka 2017 ambapo Mkoa umeendelea kuweka mikakati thabiti ili kuhakikisha kuwa hakuna kasi ya maambukizi mapya huku jamii ikiendelea kuhamasishwa kujitokeza kupima afya zao.

Mkuu wa Mkoa huo, Mhandisi Marwa Rubirya alisema taarifa ya hali ya tohara katika Mkoa huo ilikuwa chini kwa miaka mingi kutokana na tamaduni, mila na desturi za wakazi wa Njombe na hivyo kuongeza maambukizi ya Virusi vya Ukimwi katika maeneo mengi ambapo Mwenyekiti wa hiyo, Mhe. Fatma Tawfiq, amewataka watendaji wa Mkoa huo waongeze juhudi katika kutoa elimu kwa jamii kuhusiana na matumizi ya kondomu pamoja na kuhamasisha tohara kwa wanaume.

Kwa upande wake Naibu Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Godwin Mollel akichangia katika kikao hicho, amesema kuwa Wizara imekuja na mfumo rasmi ambapo mfumo huo utatumika kwa ajili ya kuzisajili Asasi zisizo za Kiserikali (NGO) zinazoratibu masuala mbalimbali ikiwemo UKIMWI jambo ambalo litapeleka Mkoa kutambua shughuli halisi na maeneo Asasi hizo zinapofanya kazi jambo litakalopelekea kufanikisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo.

 Halmashauri ya Mji wa Njombe inakadiriwa kuwa na takribani watu 22,537 wanaoishi na Virusi vya Ukimwi idadi ambayo ni kubwa ukilinganisha na Wilaya nyingine zilizomo katika Mkoa huo.

Katika ziara hiyo Kamati hiyo pia iliweza kukagua Ofisi ya Baraza la watu wanoishi na Maambukizi katika Halmashauri ya Mji Njombe (KONGA) ambapo wamefarijika kwa kuona hatua ambazo Halmashauri imeweza kuchukua ikiwa ni pamoja na kuwasaidi wanufaika hao katika shughuli zao za kuwaingizia kipato.

Aidha wamemtaka Mkurugenzi kuendelea kusaidi kundi hilo kwani linamchango mkubwa katika kuinua uchumi wa familia zao na uchumi wa nchi kwa ujumla kutokana na shughuli za kijasiriamali zinazofanywa na walengwa hao.


Matangazo

  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021,SHULE ZA KITAIFA, TEULE NA KUTWA WANAFUNZI WA HALMASHAURI YA MJI NJOMBE December 18, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021, SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA MJI NJOMBE December 15, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA September 21, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji Njombe yatoa Milioni 239 ya mikopo katika robo ya tatu

    April 16, 2021
  • Mkuu wa Wilaya ya Njombe awatoa hofu Watumishi.Awataka kumuenzi Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwa kufanya kazi kwa uzalendo,ujasiri na uthubutu

    April 01, 2021
  • Watumishi Halmashauri ya Mji Njombe wapatiwa mafunzo utambuzi noti bandia na utunzaji fedha

    March 16, 2021
  • "Parachichi ni Pesa" Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ateta na Wakulima

    March 12, 2021
  • Angalia zote

Video

Makala ya utekelezaji miradi ya maendeleo 2020 Halmashauri ya Mji Njombe
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe