• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Maendeleo ya Jamii

SHUGHULI ZINAZOTEKELEZWA NA PROGRAM YA UKIMWI

  1. Kuratibu, kupanga na kusimamia utekelezaji wa shughuli zote za VVU na UKIMWI zinazotekelezwa katika Halmashauri ya Mji kwa kushirikiana na wadau mbalimbali.
  2. Kuandaa na kuwasilisha taarifa za utekelezaji wa shughuli za program ya UKIMWI za kila robo mwaka, nusu mwaka na mwaka mzima na kuziwasilisha ngazi ya Halmashauri na Mkoa.
  3. Kubaini mahitaji na kuandaa mpango kazi wa kujenga uwezo miongoni mwa wadau wanaoshughulika na afua za UKIMWI katika Halmashauri.
  4. Kufuatilia, kutathimini na kubaini  vichocheo vya maambukizo ya VVU na maeneo hatarishi yanayosababisha kasi kubwa ya maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI.
  5. Kuwa kiungo kati ya Halmashauri na wadau wengine katika utekelezaji wa shughuli za VVU na UKIMWI katika Halmashauri 


SHUGHULI ZINAZOTEKELEZWA NA DAWATI LA UWEZESHAJI WANACHI  KIUCHUMI

  1. Kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa Sera na Sheria ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi kiuchumi na Mkakati wa Taifa wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi katika Halmashauri
  2. Kukusanya taarifa na tafiti mbalimbali na kumshauri Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri  katika masuala ya Uwezeshaji Kiuchumi na Ushiriki wa Watanzania
  3. Kuhakikisha kuwa Halmashauri inahusisha suala la hifadhi ya mazingira na mabadiliko ya Tabia Nchi katika mipango ya maendeleo ya Halmashauri  ilikuboresha mazingira ambayo ni muhimu katika suala zima la uzalishaji wa mazao ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
  4. Kubuni na kutafuta vyanzo vya rasilimali kwa ajili ya shughuli za uwezeshaji katika Halmashauri
  5. Kuratibu na kuhamasisha uanzishwaji na uendelezaji wa Vikundi vya kiuchumi kama SACCOS, VICOBA na vinginevyo vinavyosajili 
  6. Kubuni fursa mbalimbali za uwekezaji katika Halmashauri
  7. Kushauri namna ya uboreshaji wa vituo vidogo vidogo vya kibiashara hususani katika Vijiji na Kata


MAJUKUMU YA KITENGO CHA VIJANA

  1. Kuwawezesha Vijana kiuchumi kwa kuwapatia mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana wa Wilaya (YDF) na wa Mfuko wa Maendeleo ya Vijana wa Wizara
  2. Uratibu na Uhamasishaji
  3. Kuwa na kuweka takwimu muhimu zinazohusu Vijana na kuzifanyia kazi
  4. Kuhamasisha vijana kujiunga katika vikundi vya uzalishaji mali na vikundi vya kuweka na kukopa na kujiunga na SACCOS)
  5. Kuratibu, kufuatiliia na kutekeleza  shughuli za Vijana mfano, Vikundi vya uzalishaji mali, Mfuko wa Maendeleo ya Vijana wa wilaya (YDF) na Wizarani
  6. Kutoa ushauri wa kitaalam na kisheria wa masuala ya Vijana
  7. Kuhimiza vijana katika shughuli za kujitolea
  8. Kuvipa usajili vikundi vya ujasiriamali vya kijamii.
  9. Kusimamia utoaji na urejeshaji wa wamikopo ya vikundi vya Vijana.
  10. Mafunzo na Maendeleo ya Ujuzi
  11. Kuandaa na kutoa mafunzo kwa Vijana katika masuala ya ujasiriamali,stadi za kazi, upangaji na uendeshaji wa miradi na uongozi
  12. Kuandaa mafunzo ya kuwajengea uwezo Vijana  (capacity building)
  13. Ushauri Nasaha Makuzi na Maongozi
  14. Kutoa ushauri nasaha kwa vijana kuhusiana na masuala ya afya , stadi za maisha na elimu juu dhidi ya VVU na UKIMWI na dawa za kulevya
  15. Kutoa elimu ya afya ya uzazi kwa Vijana na stadi za maisha
  16. Kutoa elimu ya maadili mema kwa Vijana ili waweze kujitambua na kuishi vizuri katika jamii
  17. Kukuza dhana ya jinsia miongoni mwa vijana katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo.


Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 06, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KWENYE ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA MJI NJOMBE March 25, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA MJI NJOMBE NA KASI YA KIDIGITALI KATIKA KUPANGA,KUPIMA NA KUMILIKISHA ARDHI

    May 19, 2022
  • RC KINDAMBA AONGOZA ZOEZI LA UTOAJI CHANJP YA POLIO KWA AWAMU YA PILI MKOANI NJOMBE

    May 18, 2022
  • UNICEF KUPITIA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI (TASAF) YAENDELEA KUBORESHA HALI USAFI KWA WATOTO WA KIKE

    April 29, 2022
  • KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (LAAC) YAKAGUA MRADI WA STENDI NA SOKO NJOMBE

    March 17, 2022
  • Angalia zote

Video

Makala ya utekelezaji miradi ya maendeleo 2020 Halmashauri ya Mji Njombe
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe