• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

BARAZA LA MADIWANI NJOMBE TC WARIDHIA KUTENGA MAENEO YA KUJENGA CHUO KIKUU.

Tarehe iliyowekwa: May 4th, 2023


Baraza la waheshimiwa madiwani Halmashauri ya Mji Njombe kwapamoja waridhia kutenga maeneo ya kujenga Chuo Kikuu.

Wakizungumza madiwani hao katika Mkutano wa baraza la Madiwani Mhe.Ulriki Msemwa ,Honolatus Mgaya ,Mhe.Alatanga Nyagawa , Mhe .Anjela Mwangeni pamoja na wengine walio kuwepo katika baraza hilo wameonesha kiuyao ya kutaka kujengwa kwa chuo kikuu  ambacho kitapanua biashara za wananchi na kipato kuongeze .

Aidha akitilia  msisitizo wa jambo hilo Mwenyekiti wa Halmashauri ya mji Njombe Mhe.Erasto Mpete amesema jitihada mbalimbali za hukakikisha halmashauri ya mji njombe inakuwa  manispa nikuhakikisha vyuo vikuu na vya kati vinajengwa.

"Mkutano huu wa baraza tumeidhinisha kwa pamoja kutenga maeneo ya ujenzi wa chuo kikuu na vyuo vya kati kwa kuwa ajenda ya manispaa ni ya kimkoa ,tunaamini  chuo kikuu kinajengwa ndani ya halmashauri ya mji Njombe ili lengo la kuelekea kuwa manispaa liweze kutimia ikiwa ni moja ya vigezo halmashauri kuwa manispaa"

 Mhe.Erasto Mpete Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe.

Amos Luhamba Afisa Aridhi Halmashauri ya mji njombe kwaniaba ya Mkurugenzi amesema maeneo ya kujenga chuo kikuu tayari yashatengwa  ambayo ni Nundu,Uwemba,Ihalula, na eneo lililokaribu na Shule ya Sekondari Njombe (NJOSS)


Matangazo

  • TANGAZO LA KUPANGISHA VYUMBA VYA BIASHARA SOKO KUU NJOMBE. September 05, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KWENYE ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA MJI NJOMBE March 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 05, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANAUME KUKIMBIA MAJUKUMU NA MILA POTOFU CHANZO CHA UDUMAVU NJOMBE

    October 03, 2023
  • MRADI WA KIZAZI HODARI MKOANI NJOMBE WAFANIKIWA KUWAFIKIA WANUFAIKA 25,097.

    September 29, 2023
  • TANGAZENI VIVUTIO VYA UTALII NA FURSA ZA UWEKEZAJI ZINAZOPATIKANA KWENYE MIKOA YENU.

    September 29, 2023
  • WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI WAKUMBUSHWA KUSIMAMIA UKUSANYAJI WA MAPATO

    September 22, 2023
  • Angalia zote

Video

DC ATAKA WADAU KUISHIRIKISHA OFISI YAKE KWENYE UTENDAJI KAZI.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe