• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

NIMELIONA JENGO NITALIZUNDUA

Tarehe iliyowekwa: June 17th, 2024

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg.Godfrey Mnzava baada ya ukaguzi wa miundombinu na nyaraka amefanya uzinduzi wa jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya mji Njombe (Kibena).


Mradi huo umegharimu  jumla ya fedha  shilingi 173,333,350.00 ambapo kiasi cha shilingi 150,055,000.00 ni fedha kutoka Serikali kuu(TASAF), 16,342,000.00 ni  Mapato ya ndani ya Halmashauri, 3,570,000.00 michango ya Wananchi na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Njombe ilifanya harambee na kupatikana kiasi cha shilingi 3,200,000.00.


Lengo la Mradi huo ulioibuliwa na wananchi  ni kuboresha mazingira ya Wodi ya akina mama ambayo awali hayakuwa mazuri kwa afya na ustawi wa mama na mtoto wakati wa kujifungua hususani watoto wanaozaliwa kabla ya wakati  (watoto njiti).


Takwimu zinaonyesha kuwa tangu huduma zianze kutolewa mwezi Januari 2024, Jumla ya wakimama 1069, watoto wachanga 1046  na watoto njiti 53 wamepatiwa  huduma.


Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2024 zinaongozwa na kaulimbiu isemayo "Tunza mazingira na shiriki Uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu"

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BIL. 2.4 ZATUMIKA MWENYE MICHEZO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 SERIKALI YA AWAMU YA SITA IMEFANYA JUHUDI KUBWA KUIMARISHA MICHEZO SHULENI.

    June 09, 2025
  • WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGUA RASMI MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025.

    June 09, 2025
  • ZAHANATI MPYA,YA KISASA YAZINDULIWA KIJIJI CHA MAMONGOLO

    June 09, 2025
  • Halmashauri ya Mji Njombe yazindua wiki ya Mazingira kwa kufanya Usafi Idundilanga

    May 31, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe