• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

VIVUTIO VYA UTALII KUSINI FURSA KWA UKUAJI WA UCHUMI

Tarehe iliyowekwa: November 9th, 2022

Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe,Balozi Dkt, Pindi Chana amesema kuwa vivutio vya Utalii ambavyo ni vizuri na vya Kipekee vinavyopatikana katika Mikoa ya Kusini mwa Tanzania ni fursa kwa Wananchi wa Mikoa hiyo kunufaika na kujiongezea kipato kutokana na uwepo wa vivutio hivyo.

Waziri Chana ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya Utalii ya Karibu Kusini yaliyohudhuriwa na wadau kutoka katika Mikoa kumi ambayo ni Iringa,Njombe, Mbeya,Ruvuma,Mtwara,Lindi,Morogoro,Rukwa,Katavi na Songwe ambapo yamezinduliwa leo Mkoani Iringa.

Akizungumza katika uzinduzi huo Dkt,Chana amesema kuwa ni vyema wadau mbalimbali kuendlea kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kutangaza vivutio hivyo vya utalii vilivyopo katika Mikoa hiyo kutokana na upekee wa vivutio hivyo

Aliendelea kusema kuwa mpaka sasa kufikia mwezi Septemba 2022,idadi ya Watalii imeongezea na kufikia 1,034,180 kutokana na kazi kubwa iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kutangaza Utalii kupitia filamu ya The Royal Tour,ambayo imeleta neema ya ujio wa Watalii wengi Nchini

Maonesho hayo ambayo yataendelea kwa muda wa siku tano ambapo Wananchi wanakaribishwa ili kuweza kujionea na kupata taarifa za vivutio vilivyopo katika Mikoa hiyo ambapo Halmashauri ya Mji Njombe nayo inashiriki pamoja na Halmasahuri zote za Mkoa wa Njombe kutangaza vivutio vyao






Matangazo

  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 15, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 KWA SHULE ZA SEKONDARI HALMASHAURI YA MJI NJOMBE December 21, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KWENYE ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA MJI NJOMBE March 25, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 06, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WILAYA YA NJOMBE YAJIVUNIA MIAKA 61 YA UHURU

    December 09, 2022
  • DC NJOMBE AKABIDHIWA MRADI WA VYUMBA VYA MADARASA

    December 08, 2022
  • SHAMRA SHAMRA MIAKA 61 YA UHURU NJOMBE WAANZA KWA USAFI SOKO KUU

    December 05, 2022
  • KAMATI YA FEDHA YAHIMIZA UBORA NA KASI KATIKA UKAMILISHAJI WA MIRADI

    December 03, 2022
  • Angalia zote

Video

Makala ya utekelezaji miradi ya maendeleo 2020 Halmashauri ya Mji Njombe
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe