• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Taarifa ya Utekelezaji wa Miradi Mbali Mbali 2017

Start Date: 2016-07-01
End Date: 2017-06-30

 

Halmashauri ya Mji Njombe kwa mwaka wa fedha 2016/17  ilipanga kukusanya na kutumia kiasi cha Shilingi 12, 214, 205,100 kwa ajili ya utekelezaji wa programu mbalimbali za maendeleo. Kati ya fedha hizo Shilingi 10, 835, 160,100 ni   ruzuku   kutoka   serikali   kuu na Wahisani wa Maendeleo,  na Shilingi  1, 379, 045,000 ni mapato ya ndani. Kwa ujumla hadi kufikia tarehe 30/6/2017, Halmashauri iliweza kupokea na kukusanya  jumla ya Tsh. Sh. 9,960,776,540.52 sawa na 81.5% ya bajeti iliyoidhinishwa, ambapo kati ya fedha hizo Shilingi 8,740,141,438.28 ni ruzuku ya miradi ya maendeleo toka Serikali kuu na shilingi 1,220,635,102.24 ni mapato ya ndani. Aidha, Halmshauri imepokea jumla ya Shilingi 260,093,173.24 nje ya bajeti iliyoidhinishwa kwa ajili ya utekelezaji wa kampeni ya usajili na utoaji wa vyeti kwa watoto chini ya miaka 5 (Birth Registration) na ruzuku ya utendaji wenye matokeo (P4R).  Katika kipindi cha robo ya nne pekee halmashauri imeweza kupokea kiasi cha shilingi 3,266,103,966.45 (Ruzuku - 3,000,424,715.21 na mapato ya ndani - 265,679,251.24) kwa ajili ya miradi ya Maendeleo. Taarifa yake imeambatanishwa


Matangazo

  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA LUNYANYWI NA YAKOBI HALMASHAURI YA MJI NJOMBE August 05, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KWENYE ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA MJI NJOMBE March 25, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 06, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC KISSA AWATAKA WASHIRIKI NANE NANE KUTOKA WILAYA YA NJOMBE KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA JAMII NA KUTANGAZA FURSA ZILIZOPO NJOMBE

    August 02, 2022
  • MAKAMU WA RAIS AMTEMBELEA MFUGAJI WA SAMAKI KWENYE UZINDUZI WA MAONESHO YA NANENANE

    August 01, 2022
  • MKOA WA NJOMBE WAFANYA KONGAMANO KUMWOMBEA MHESHIMIWA RAIS NA KULIOMBEA TAIFA AMANI

    July 30, 2022
  • UWEMBA NA NJOSS ZATOKOMEZA SIFURI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA.HALMASHAURI YATOA PONGEZI YA CHETI NA KITITA CHA LAKI TANO KWA KILA SHULE

    July 29, 2022
  • Angalia zote

Video

Makala ya utekelezaji miradi ya maendeleo 2020 Halmashauri ya Mji Njombe
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe